Mfumo kamili wa usimamizi wa shule za sekondari Tanzania. Alama za NECTA, mahudhurio, ada, ratiba, na mawasiliano na wazazi — yote mahali pamoja.
—
Wanafunzi
—
Walimu
Tsh 0
Ada Iliyolipwa
—
Mahudhurio Leo
Matumizi ya Mpango — Pro
—
Shule Zinazotumia
—
Wanafunzi Waliosajiliwa
99.9%
Uptime wa Mfumo
24/7
Msaada wa Wateja
Mfumo ulioundwa mahususi kwa mazingira ya Tanzania — Kiswahili, NECTA, na miundombinu ya simu ya Tanzania.
Sajili wanafunzi, simamia madarasa, na fuatilia maendeleo ya kila mwanafunzi kwa urahisi.
Rekodi alama za O-Level na A-Level kwa mujibu wa NECTA. Chapisha ripoti za PDF mara moja.
Rekodi mahudhurio ya wanafunzi kila siku. Export CSV kwa uchambuzi wa kina.
Simamia ada za wanafunzi, fuatilia malipo, na pata taarifa za fedha kwa wakati halisi.
Wasiliana na wazazi moja kwa moja kupitia WhatsApp. Tuma taarifa za maendeleo ya mtoto.
Panga ratiba za masomo na kalenda ya mitihani. Simamia walimu na madarasa yao.
Tengeneza akaunti yako bila kadi ya benki.
Weka maelezo ya shule yako na madarasa.
Pakia wanafunzi mmoja mmoja au CSV bulk.
Rekodi alama, mahudhurio, ada na zaidi.
Lipa kwa M-Pesa, Tigo Pesa, au Airtel Money. Hakuna malipo ya siri.
Bure
Tsh
45,000/kwa mwezi
Tsh
95,000/kwa mwezi
"Niliunda SMS SaaS kwa sababu nilijua shule za Tanzania zinahitaji mfumo rahisi, wa bei nafuu, na wa Kiswahili. Leo unaweza kuanza bure."
Mwl. Alexander E. Letema
Founder, Letema Group · LG TECH Platform
"Mfumo huu umeundwa na Watanzania kwa Watanzania. Tunasaidia shule za sekondari kusimamia alama za NECTA, mahudhurio, ada, na mawasiliano na wazazi."
LG TECH Platform
Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿
"Anza bure leo. Wanafunzi 150 bila malipo yoyote. Tunakusaidia kuanzisha mfumo ndani ya dakika 5."
Jiunge Leo
Bado unasita? Wasiliana nasi WhatsApp: 0620 642 652
Jiunge na wakuu wa shule zaidi ya 50 wanaotumia SMS SaaS kusimamia shule zao kwa ufanisi zaidi.
✅ Hakuna kadi ya benki · ✅ Msaada wa Kiswahili · ✅ Lipa kwa M-Pesa